Fri, 18 Oct 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kuondoshwa madarakani kama Naibu wa Rais nchini Kenya, Rigathi Gachagua, kiongozi huyo ambaye kwa sasa yupo hospitali baada ya kuugua ghafla amepokonywa walinzi waliokuwa wakimlinda.
Baada ya kuondoshwa madarakani kama Naibu wa Rais nchini Kenya, Rigathi Gachagua, kiongozi huyo ambaye kwa sasa yupo hospitali baada ya kuugua ghafla amepokonywa walinzi waliokuwa wakimlinda.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live