Je! Umewahi kujiuliza itakugharimu shilingi ngapi kuishi katika mji tofauti na ambao unaishi sasa katika nchi yako?
Makala hii inaangazia miji 10 barani Afrika yenye gharama kubwa zaidi ya kuishi ambapo inalinganisha gharama za mahitaji ya msingi kama vile chakula, mavazi, burudani, afya, usafiri na elimu katika nchi mbalimbali za Afrika.
Takwimu kutoka ripoti ya Statista zimetumika kuipata miji 10 Afrika yenye gharama kubwa sana ya kuishi. Ifahamike kwamba ukotoaji wa gharama za kuishi haujahusisha gharama za kodi za kupanga.
Addis Ababa: Mji Mkuu wa Ethiopian
Abidjan: Mji Mkuu wa Ivory Coast
Harare: Mji Mkuu wa Zimbabwe
Johannesburg: Mji wa kibiashara wa Afrika Kusini
Pretoria: Moja ya Miji Mikuu mitatu ya Afrika Kusini
Gaborone: Mji Mkuu wa Botswana
Cape Town: Mji kutoka Afrika Kusini
Accra: Mji Mkuu wa Ghana
Marrakech: Mji wa kitalii kutoka Morocco
Windhoek: Mji Mkuu wa Namibia.