Sun, 23 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hii ni baada ya mapigano makali kati ya Polisi na Waandamanaji wanaopinga Utawala wa Kijeshi Nchini humo yaliyosababisha vifo vya takriban watu 50
Mamia ya Waandamanaji walijitokeza katika Mji Mkuu wa N'Djamena na kwingineko kuadhimisha tarehe ambayo awali Wanajeshi walikuwa wameahidi kurejesha Utawala wa Kidemokrasia, muda ambao umeongezwa kwa Miaka miwili zaidi
Amri hiyo ya kutotoka nje kati ya saa 12 jioni hadi 12 asubuhi itasalia hadi Utulivu utapokerejea katika maeneo yenye vurugu
Chanzo: www.tanzaniaweb.live