Tue, 3 Nov 2020
Chanzo: habarileo.co.tz
BREAKING: Bob Wine akamatwa na polisi
BREAKING: Bob Wine akamatwa na polisi Mgombea urais wa Uganda kupitia Chama Cha National Unity Platform (NUP) Robert Kyagulanyi maarufu kama Bob Wine amekamatwa na polisi muda mfupi wakati akihutubia wananchi jijini Kampala. Taarifa kutoka katika kituo cha habari cha NTV nchini Uganda zinaeleza kuwa gari lake limeharibiwa na polisi na kukamatwa
Chanzo: habarileo.co.tz