Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Binadamu aliyefananishwa na Sokwe Rwanda apelekwa Shule (video+)

Video Archive
Thu, 21 Oct 2021 Chanzo: millardayo.com

Wengi wetu tumezisoma sana habari kuhusu Zanzimana Ellie (22) wa Rweanda ambaye amekuwa gumzo kutokana na kufananishwa na Nyani ama Sokwe ambapo Mama yake alisema Kijana huyu toka alipozaliwa amekua akipenda kukaa msituni na kujitenga na shughuli nyingine za kawaida za Binadamu, taarifa mpya ya leo inasema wamejitokeza Wasamaria wema na kumpeleka Shule.

Wengi wetu tumezisoma sana habari kuhusu Zanzimana Ellie (22) wa Rweanda ambaye amekuwa gumzo kutokana na kufananishwa na Nyani ama Sokwe ambapo Mama yake alisema Kijana huyu toka alipozaliwa amekua akipenda kukaa msituni na kujitenga na shughuli nyingine za kawaida za Binadamu, taarifa mpya ya leo inasema wamejitokeza Wasamaria wema na kumpeleka Shule.

Chanzo: millardayo.com