Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Bibi wa Obama Azikwa Kenya

1024x576 Cmsv2 131aa13b D533 53e6 Ac81 06cda4146235 5511540?fit=800%2C450&ssl=1 Bibi wa Obama Azikwa Kenya

Wed, 31 Mar 2021 Chanzo: globalpublishers.co.tz

Bibi wa Obama Azikwa Kenya March 31, 2021 by cshechambo



SARAH Obama ambae ni Bibi wa Rais Mstaafu wa Marekani Barack Obama, amezikwa jana Machi 30, nyumbani kwake Kogelo, Siays Nchini Kenya, mazishi hayo yamehudhuriwa na watu 100 tu, kutokana na marufuku mpya ilitangazwa ya kupambana na ugonjwa wa Corona.

Sarah Obama alifariki juzi akiwa na miaka 99 katika  Hospitali ya Jaramogi Oginga, Rais Mstaafu Obama, hakuhudhuria mazishi hayo laikini aliwasilisha salamu zake za pole jumatatu.

Ulinzi mkali uliimarishwa kwenye kijiji cha Nyangoma Kogelo ili kuzuia maelfu ya waombolezaji walikuwa wanataka kuhudhuria mazishi ya Bibi Sarah.

Chanzo: globalpublishers.co.tz