Mahakama kuu ya Ado-Ekiti, Jimbo la Ekiti Nchini Nigeria imemhukumu kijana wa umri wa miaka 28, #AyodejiAlomage, kunyongwa kwa kosa la kumuua #OgunleyeAyomide, kwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mke wake. . #Alomage alifikishwa mbele ya Hakimu #JubrilAladejana mnamo Aprili 2023 kwa shtaka moja la Mauaji,Ripoti za polisi zilisema kuwa Baba Mzazi wa marehemu alipigiwa simu na kupewa taarifa kuwa Mwanae alipokea kipigo kikali kutoka kwa #Ayodeji pamoja na genge lake.
Mahakama kuu ya Ado-Ekiti, Jimbo la Ekiti Nchini Nigeria imemhukumu kijana wa umri wa miaka 28, #AyodejiAlomage, kunyongwa kwa kosa la kumuua #OgunleyeAyomide, kwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mke wake. . #Alomage alifikishwa mbele ya Hakimu #JubrilAladejana mnamo Aprili 2023 kwa shtaka moja la Mauaji,Ripoti za polisi zilisema kuwa Baba Mzazi wa marehemu alipigiwa simu na kupewa taarifa kuwa Mwanae alipokea kipigo kikali kutoka kwa #Ayodeji pamoja na genge lake.