Fri, 14 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wapiganaji wa Al-Shabaab wamesema safari ya kupambana na Kenya ili kulipiza kisasi kwa uwepo wa Majeshi yake Nchini Somalia imeanza
Video iliyosambazwa katika makundi ya Telegram na Rocket Chat ina ujumbe unaosema hizi ni nyakati za mwisho na hawatarudi nyuma
Watu 13 wameuawa Nchini Kenya tangu mwaka 2022 ulipoanza, na vifo hivyo vimehusishwa na wapiganaji wa Al-Shabaab ambao Makao Makuu yao ni Somalia
Chanzo: www.tanzaniaweb.live