Thu, 2 Sep 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Afrika Kusini imesema haiwezi kuchukua wakimbizi kutoka Afghanistan kwa sababu ina idadi kubwa ya wakimbizi kwa sasa ambao wanahitaji kuhudumia.
Idara ya Uhusiano wa Kimataifa imesema wakimbizi wanaweza kuhudumiwa vyema katika Nchi za kwanza walizowasili ambapo wengi wapo nchini Pakistan.
Aidha, kwa Nchi za Afrika hadi sasa ni Nchi mbili ndio zimekubali kupokea Wakimbizi ambazo ni Uganda na Rwanda
Chanzo: www.tanzaniaweb.live