Tue, 8 Jun 2021
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke
Takriban wiki moja baada ya sherehe za Madaraka kufanyika nchini Kisumu, afisi za kaunti ya hiyo sasa zimefungwa kufuatia ongezeko la virusi vya COVID-19.
Hii ni kufuatia uamuzi uliofanywa kwenye mkutano na mashirika mbali mbali ya usalama wa afya iliyongozwa na gavana Anyang' Nyong'o Jumatatu, Juni 7.
Kwenye mkutano huo, iliafikiwa kwamba huduma za muhimu zisitishwe kwa muda, mochuari zote zinakili idadi ya miili inayopokea kwa mkuu wa afya ya umma kaunti hiyo.
Imeripotiwa kwamba idadi ya visa vya maambukizi katika kaunti hiyo kufikia Juni 7 vilikuwa vimegonga 5, 739
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke