Thu, 15 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taarifa iliyotolewa na shirika hilo jana Septemba 14, 2022 ilisema abiria huyo alifariki alipokuwa akihudumiwa na wahudumu wa afya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA)
Imeelezwa abiria huyo alipata matatizo ya kupumua alipokuwa akiingia kwenye ndege ambayo ilikuwa imepangwa kuondoka kuelekea Mombasa.
Kisa hicho kinatokea ikiwa ni takribani wiki mbili tangu abiria mwingine apoteze maisha akiwa ndani ya ndege ya KQ002 iliyokuwa ikielekea New York, Marekani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live