Watu 17 wamefariki dunia nchini Kenya na wengine zaidi ya 27 kujeruhiwa baada ya basi la Super Metro walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori wakati dereva akitaka kuipita gari ndogo katika eneo la Nyando, Kisumu usiku wa kuamkia leo Januari 29, 2024.
Watu 17 wamefariki dunia nchini Kenya na wengine zaidi ya 27 kujeruhiwa baada ya basi la Super Metro walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori wakati dereva akitaka kuipita gari ndogo katika eneo la Nyando, Kisumu usiku wa kuamkia leo Januari 29, 2024. Basi hilo lilikuwa likielekea Mombasa nchini humo ambapo dereva wa basi na lori walipoteza maisha papo hapo.