Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Yanga yapangwa kundi D michuano ya kombe la Shirikisho Afrika 

6851 Caf 1.png TZW

Sat, 21 Apr 2018 Chanzo: bongo5.com

Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) limetangaza droo ya makundi ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika huku wawakilishi wa Tanzania timu ya Yanga SC ikipangwa kundi D.



Droo hiyo iliyofanyika makao makuu ya CAF , Cairo nchini Misri Yanga SC  imepangwa kundi D na kuungana na timu za Rayon Sports (Rwanda), U.S.M Alger (Algeria) na Gor Mahia (Kenya) .

Droo ya hatua makundi CAF kujulikana Jumamosi

Yanga SC imetinga hatua ya makundi baada ya kuifunga timu ya Welayta Dicha ya nchini Ethiopia kwa jumla ya mabao 2 – 1.

Chanzo: bongo5.com