Mon, 1 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga imesaini mkataba CRDB Bank kama mdhamini mwenza kuelekea Wiki ya Mwananchi inayotarajiwa kuhitimishwa Agosti 6 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa.
Klabu ya Yanga imesaini mkataba CRDB Bank kama mdhamini mwenza kuelekea Wiki ya Mwananchi inayotarajiwa kuhitimishwa Agosti 6 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa. Yanga wamewakilishwa na Makamu Rais Arafat Hajji na Crdb wamewakilishwa na Mkuu wa kitengo cha kadi, Farid Selfu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live