Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Yanga wapata ushindi wa kwanza baada ya michezo tisa kupita

8289 Yangaaa.png TZW

Tue, 22 May 2018 Chanzo: bongo5.com

Mabingwa wakihistoria wa ligi kuu soka Tanzania Bara klabu ya Yanga imefanikiwa kuchomoza na ushindi mwembamba wa bao 1 – 0 dhidi ya Mbao FC mchezo uliyopigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.



 

Yanga wanapata ushindi wa kwanza baada ya kushindwa kufanya hivyo kwenye michezo tisa mfululizo katika mashindano yote.

Bao pekee la Thaban Kamusoko ndilo limeipatia Yanga ushindi dhidi ya Mbao FC na kuifanya kufikisha jumla ya pointi 51 na kufukuzia nafasi ya pili inayoshikiliwa na Azam FC wenye alama 55 baada ya kupoteza ubingwa wao wa ligi.

Loading...
Chanzo: bongo5.com