height="400" class="wp-caption-text">Haji Manara
“Hata kama nipewe hela zote na Benki kuu ya Tanzania (BoT) siwezi kuwa msemaji wa Yanga“. amesema Haji Manara kwenye kipindi cha Maisha Mseto cha Times FM.
SOMA NA HII – Simba SC wakabidhiwa mamilioni yao, Manara asema mwaka huu watainyoosha EvertonKwa upande mwingine, Manara amesema kuwa kipindi kigumu wanachopitia Yanga kwa sasa ni laana ya dhuluma waliyokuwa wanafanya miaka ya nyuma wakati wa enzi za aliyekuwa Rais wa TFF, Jamal Malinzi.
“Yanga walitufanyia dhuluma msimu uliopita kupitia kwa malinzi wao. Dhuluma hiyo inawatafuna mpaka leo. Mafuriko yako kwao, njaa iko kwao, dhuluma hiyo inawatafuna tu.“amesema Manara.
_______________________________________________________________________________________________
Kwa sasa unaweza kupata habari zetu zote sehemu moja kwa kupitia App yetu ya Bongo5. Pakua sasa kupitia Play Store kwa kubonyeza link hii – https://bit.ly/2J2Argw