Thu, 18 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Mchezo wa ligi kuu soka Tanzania Bara baina ya mabingwa watetezi klabu ya Yanga dhidi ya Nwadui FC umemalizika Uwanja wa Uhuru kwa timu hizo kutoka sare tasa ya bila kufungana.
Kwa matokeo hayo Yanga SC inasalia katika nafasi yake ya tano kwakuwa na ponti 22 wakati Mwadui FC ikiwa na alama 13 na kuzishusha Kagera Sugar, Ndanda FC na Mbeya City.
Chanzo: bongo5.com