Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Yanga SC yavutwa shati na Mwadui FC uwanja wa Uhuru

1467 Yangaaaa 22222222.png TZW

Thu, 18 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Mchezo wa ligi kuu soka Tanzania Bara baina ya mabingwa watetezi klabu ya Yanga dhidi ya Nwadui FC umemalizika Uwanja wa Uhuru kwa timu hizo kutoka sare tasa ya bila kufungana.

Kwa matokeo hayo Yanga SC inasalia katika nafasi yake ya tano kwakuwa na ponti 22 wakati Mwadui FC ikiwa na alama 13 na kuzishusha Kagera Sugar, Ndanda FC na Mbeya City.

Chanzo: bongo5.com