Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Yanga SC yaanika kikosi chake Vs Mwadui FC, Tambwe ndani

1450 Amm.png TZW

Thu, 18 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Mabingwa wa tetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara klabu ya Yanga hii leo inatarajia kushuka dimbani tayari kuivaa timu ya Mwadui FC katika mechi ya Vpl itakayo chezwa Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.



Kuelekea katika mchezo huo Yanga SC imeanika wachezaji wake huku akiwemo mshambuliaji Amis Tambwe ambaye amekosekana katika kikosi cha timu hiyo kwa muda mrefu kutokana na kusumbuliwa na malaria.

Chanzo: bongo5.com