Mon, 12 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Yanga SC ya lalamika kutotendewa haki katika matumizi ya Unwanja wa Taifa hali ya kuwa umekarabatiwa vizuri na upo tayari kwaajili ya mashindano hayo yamesemwa na Mjumbe wa kamati ya utendaji ya Yanga Salum Mkemi wakati wa kikao na waandishi wa habari za michezo.
Chanzo: bongo5.com