Fri, 19 Feb 2021
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Uongozi wa Klabu ya Yanga umempa siku 14, Afisa Habari wa Simba SC, Haji Manara kujitokeza hadharani kuomba radhi na kama atashindwa watamfikisha mahakamani, hayo yamesemwa na Fredrick Mwakalebela makamu mwnyekiti
Uongozi wa Klabu ya Yanga umempa siku 14, Afisa Habari wa Simba SC, Haji Manara kujitokeza hadharani kuomba radhi na kama atashindwa watamfikisha mahakamani, hayo yamesemwa na Fredrick Mwakalebela makamu mwnyekiti
Chanzo: zanzibar24.co.tz