Tue, 22 May 2018
Chanzo: bongo5.com
Klabu ya West Ham imethibisha kuingia kandarasi ya miaka mitatu na Manuel Pellegrini kuwa meneja mpya wa timu hiyo.
Kocha, Pellegrini anatarajiwa kukusanya kitita kizito zaidi ya paundi milioni 16 aliyokuwa akilipwa kwa mwaka kwenye ligi ya China.
Duru za habari zinaeleza kuwa kocha huyo mwenye umri wa miaka 64 aliyeachana na timu ya Hebei China anatarajiwa kufanya makubwa ndani ya kikosi cha West Ham kutokana na mafanikio yake aliyopata kwenye klabu nyingine.
Loading...
Chanzo: bongo5.com