Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Waziri Mwakyembe amteua Leodger Tenga kuwa Mwenyekiti BMT

Mon, 12 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amemteua rais mstaafu wa shirikisho la soka Tanzania (TFF), Leodger Chilla Tenga kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT).

 

Chanzo: bongo5.com