Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Wamarekani Wampa Heshima Kubwa Diamond

Diamond Jezi Diamond Platnumz

Thu, 14 Oct 2021 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

SUPASTAA wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz @diamondplatnumz amekabidhiwa jezi na timu kubwa ya Duniani ya Washington Football Team @washingtonnfl ya Amerian Football

Diamond amekabidhiwa jezi hiyo iliyoandikwa "#PLATNUMZ" na namba 99 mgongoni ikiwa ni ishara ya kuthaminiwa na timu hiyo kubwa Duniani.

Kupitia ukurasa wao wa Instagram @washingtonnfl wamethibitisha hilo kwa kupost picha za Mondi akiwa na jezi yao ikiambatana na ujumbe ujumbe uliosomeka

"@diamondplatnumz repping the Burgundy & Gold." - Washington NFL

Timu ya #Washingtonnfl inashikilia nafasi ya pili (2) kwenye Ligi ya mpira wa Marekani

Diamond kwa sasa yupo nchini Marekani kwa ajili ya tour yake ya muziki (#diamondplatnumzusatour2021) ambapo anatarajia kwenda kupiga shoo Minnepolis kesho Ijumaa, October 15 na Denver, October 16, Jumamosi)

Chanzo: www.tanzaniaweb.live