Tue, 31 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwana Riadha Alphonce Felix Simbu Ashika Nafasi ya Pili (1:01:30) na kupata Medali ya Fedha (Silver Medal) kwenye Mashindano ya Majeshi kwa Kilomita 21 ( The World CISM Half Marathon Championship, Switzerland) huko Uswisi,
Huku Faraja Damas akitumia muda wa (1:05:21)
Nae Magdalena Crispin shauri akishika nafasi ya tatu (1:08:40) kwa Wanawake na kupata medali ya Shaba (Bronze) na Jackline Sakilu akiwa nafasi ya Nne kwa muda wa (1:09:32) huku Mayselina Mbua akitumia muda wa (1:14:36) katika Mashindano Hayo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live