Thu, 13 Aug 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Uongozi wa Klabu ya Yanga umesema kuwa haujaridhishwa na hukumu iliotolewa Leo (Jana) na kamati ya Sheria na hadhi za wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania katika shauri lao na mchezaji Benard Morrison.
Uongozi wa Klabu ya Yanga umesema kuwa haujaridhishwa na hukumu iliotolewa Leo (Jana) na kamati ya Sheria na hadhi za wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania katika shauri lao na mchezaji Benard Morrison.
Chanzo: zanzibar24.co.tz