Mchezaji bora duniani anaekipiga klabu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo ameingia katika gumzo kubwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii duniani baada ya kuenea kwa video inayomuonyesha akifutiwa makamasi na mchezaji, Dani Alves wakati wa mechi yao dhidi ya Paris Saint-Germain iliyokwisha kwa mabao 2 – 1 michuano ya klabu bingwa bbarani Ulaya siku ya Jumanne.
Mjadala mkubwa ni kitendo cha Alves mchezaji wa kimataifa wa Brazili kufuta makamasi kwa kutumia mkono wake kisha kumfutia Ronaldo ambaye ni mchezaji bora wa dunia.
Kabla ya kitendo hicho kumekuwa na patashika kati ya wachezaji hao wawili hali iliyopelekea Ronaldo kumpiga teke kwa makusudi Alves.
Alves ambaye amewahi kuitumikia klabu ya Barcelona kwa miaka tisa huku akiwa na historia na Ronaldo tangu siku ya kwanza anakabiliana naye katika ligi ya La Liga amekuwa na ushindani naye kwa kipindi chote hicho.
Hata hivyo mwanzoni mwa mwaka huu Alvesi amesema kuwa anamuheshimu sana Ronaldo tofauti na vyombo vya habari vinavyo andika.
Vyombo vya habari ndiyo vinavyo andika kuwa nina ugomvi na Cristiano.
Laiti watu wangefahamu kwa kiasi gani namheshimu sana Cristiano Ronaldo naliweka sawa hili narudia tena namheshimu sana Cristiano Ronaldo.
Kilamtu ananiambia kwakiasi gani alivyo kuwa na kipaji kama Ronaldo,ni tofauti kwangu nilipaswa nishindane naye.
Dani Alvesi akimsukuma Ronaldo wakati akiwa na klabu yake ya Barcelona
Mitandao mingi ya michezo imeandika na kuposti video hiyo inayo muonyesha Dani Alves akifanya kitendo hicho wakati wa mchezo wao dhidi ya Madrid.
Penoso en mi profesion en la mayoría de las veces no es quedar eliminado, eso forma parte del cotidiano nuestro, pero tener que ver y escuchar bobadas como esa…. pero bueno, continuaré competiendo como hice hasta hoy y las bobadas para los bobos!! #respectwinorlose!! https://t.co/XdHQyesSXm
— Daniel Alves (@DaniAlvesD2) March 8, 2018
Ningumu katika taaluma yangu mara nyingi hauwezi kuepuka, hii ni sehemu ya maisha yetu kusikia na kuona vitu kama hivi.Nitaendelea kupambana kama nilivyo fanya hadi hii leo.
Cristiano Ronaldo: Fans spot DISGUSTING Dani Alves action during Real Madrid vs PSG https://t.co/q4PEWdMphN pic.twitter.com/pLRWXk4qnl
— Updates News (@updatesnews6) March 8, 2018
https://twitter.com/DExpress_Sport/status/971717810744381441
Cristiano Ronaldo: Fans spot DISGUSTING Dani Alves action during Real Madrid vs PSG
Click He… pic.twitter.com/5AjXHZraWV
— scorehighlights (@scorehighlights) March 8, 2018
Le déroulement de l'action crotte de nez de Dani Alvez vs Cristiano #Ronaldo : https://t.co/rDoC2vBLZP
— Frédéric Traini (@FredTraini) March 6, 2018