Wed, 9 May 2018
Chanzo: bongo5.com
Afisa habari wa klabu ya Simba, Haji Manara amewapa pole watani zake wa jadi Yanga baada ya kupoteza mchezo wao wa kwanza wa hatua ya makundi dhidi ya USM Alger ya Algeria kwa kukubali kipigo cha mabao 4 – 0 huku akiwatakata kusubiri mpaka 2030 ndiyo watapa nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa.
Loading...
Chanzo: bongo5.com