Sun, 28 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Klabu ya soka ya Yanga SC kupitia kwa msemaji wake, Dismas Ten amesema kuwa wameshalimaliza swala la kibali cha Kocha Mkuu wa timu hiyo, George Lwandamina na taratibu zote zimeshafuatwa hivyo mashabiki na wanachama waondoe shaka juu ya jambo hilo.
Klabu ya soka ya Yanga SC kupitia kwa msemaji wake, Dismas Ten amesema kuwa wameshalimaliza swala la kibali cha Kocha Mkuu wa timu hiyo, George Lwandamina na taratibu zote zimeshafuatwa hivyo mashabiki na wanachama waondoe shaka juu ya jambo hilo.
Chanzo: bongo5.com