Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Video: Yanga SC yatoa kauli hatma ya kibali cha kocha Lwandamina

Sun, 28 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Klabu ya soka ya Yanga SC kupitia kwa msemaji wake, Dismas Ten amesema kuwa wameshalimaliza swala la kibali cha Kocha Mkuu wa timu hiyo, George Lwandamina na taratibu zote zimeshafuatwa hivyo mashabiki na wanachama waondoe shaka juu ya jambo hilo.

Klabu ya soka ya Yanga SC kupitia kwa msemaji wake, Dismas Ten amesema kuwa wameshalimaliza swala la kibali cha Kocha Mkuu wa timu hiyo, George Lwandamina na taratibu zote zimeshafuatwa hivyo mashabiki na wanachama waondoe shaka juu ya jambo hilo.

Chanzo: bongo5.com