Sun, 28 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Kuelekea katika mchezo wao wakesho dhidi ya Azam FC utakao fanyika katika uwanja wa Chamazi Complex mabingwa hao wa tetezi watawakosa wachezaji wao muhimu na tegemezi,
“Kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Azam FC wachezaji saba wataukosa mchezo huo Yohana Mkomola,Pius Buswita,Thaban Kamusoko,Amissi Tambwe,Abdallah Shaibu,Donald Ngoma na Patongonyani wote ni wagonjwa pamoja na kuumwa Pius Buswita anatumikia adhabu ya kadi tatu za njano.”-Dismas Ten
Chanzo: bongo5.com