Mon, 12 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Msemaji wa klabu ya Yanga, Dismas Ten amesema kuwa wapo wachezaji ambao wamekaa nje kwa muda mrefu na kurejea kutetea timu zao ila mashabiki wavumilie kuhusu maamuzi ya timu hiyo juu ya mchezaji Donald Ngoma.
Msemaji wa klabu ya Yanga, Dismas Ten amesema kuwa wapo wachezaji ambao wamekaa nje kwa muda mrefu na kurejea kutetea timu zao ila mashabiki wavumilie kuhusu maamuzi ya timu hiyo juu ya mchezaji Donald Ngoma.
Chanzo: bongo5.com