Fri, 11 May 2018
Chanzo: bongo5.com
Klabu ya Yanga kupititia kwa mwenyekiti wake wa matawi, Bakili Makele wameililia Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF kuacha kukata madeni yao wanayo wadai kwakuwa kwa sasa wameyumba kiuchumi na wao ndiyo wawakilishi pekee wa michuano ya kimataifa.
Loading...
Chanzo: bongo5.com