Sun, 8 Apr 2018
Chanzo: bongo5.com
Baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF kutupilia mbali rufaa iliyokatwa na aliyekuwa makamu wa rais wake, Michael Wambura hatimae mwanasheria wake anajulikana kama Emmanuel Muga amejitokeza na kumtetea mteja wake.
Shirikisho la soka Tanzania March 15 lilitangaza adhabu ya kumfungia maisha kwa kujihusisha na soka makamu wa Rais wake, Michael Richard Wambura baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu, moja kupokea pesa za TFF isivyo halali, kugushi na kushusha hadhi ya TFF.
Chanzo: bongo5.com