Mon, 12 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Tupo hapa kwaajili ya kucheza mchezo wa klabu bingwa Afrika dhidi Yanga SC na tunahitaji kupata matokeo mazuri. Hatuna presha ila hatuna habari za kutosha kuhusu Yanga ila tunaamini ni timu nzuri.
Tupo hapa kwaajili ya kucheza mchezo wa klabu bingwa Afrika dhidi Yanga SC na tunahitaji kupata matokeo mazuri. Hatuna presha ila hatuna habari za kutosha kuhusu Yanga ila tunaamini ni timu nzuri.
Chanzo: bongo5.com