Fri, 9 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Makamu wa Rais wa klabu ya Simba, Godfrey Nyange ‘Kaburu’ leo (Alhamisi) ametinga Mahakamani Kisutu kusikiliza kesi inayowakabili ya utakatishaji wa fedha kiasi cha Dola za Marekani 300,000, wakati mwenzake ambaye ni Rais wa Simba akishindwa kufika.
Makamu wa Rais wa klabu ya Simba, Godfrey Nyange ‘Kaburu’ leo (Alhamisi) ametinga Mahakamani Kisutu kusikiliza kesi inayowakabili ya utakatishaji wa fedha kiasi cha Dola za Marekani 300,000, wakati mwenzake ambaye ni Rais wa Simba akishindwa kufika.
Chanzo: bongo5.com