Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Van Persie arejea timu yake iliyomkuza Feyenoord

1722 4871345F00000578 5296845 Image A 51 1516611761806 TZW

Mon, 22 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Uholanzi Robin Van Persie amerejea katika timu yake ya zamani iliyomkuza ya Feyenoord na kusaini mkataba wenyethamani ya paundi milioni 1.5 kwa mwaka akitokea Fenerbahce kwa uhamisho huru.



 

Van Persie ameripoti hii leo De Kuip ili kukamilisha uhamisho huo  wa kurejea  Feyenoord tangu ipite miaka 14 toka kuondoka kwake na kujiunga na  Arsenal 2004 akiondoka hapo mwaka 2002.

Miongoni mwa klabu alizopata kuchezea Van Persie  kabla ya kurejea tena katika ligi ya Uholanzi ni the Gunners , Manchester United na Fenerbahce.



Van Persie akisaini mkataba leo siku ya Jumatatu na atavaajezi namba  32.

Chanzo: bongo5.com