Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

VIDEO: Wabongo waenda na mchele kuishabikia Stars Lesotho

27153 Pic+stars TanzaniaWeb

Thu, 15 Nov 2018 Chanzo: mwananchi.co.tz

Mashabiki wa timu ya Taifa 'Taifa Stars wameamua kununua kilo 60 za mchele kwenda nazo Lesotho kwa ajili ya matumizi ya chakula katika kipindi chote cha safari yao huko.

Mchele huo ulinunuliwa kwenye eneo la Chimala wakati msafara huo uliposimama kwa muda kwa ajili ya mapumziko mafupi.

Mashabiki hao walinunua mchele huo ambao watakuwa wanajipikia wenyewe kutokana na fedha walizochanga wakiwa safarini kiasi cha Shilingi 10,000 kila mmoja ambazo zilikabidhiwa kwa shabiki mwezao Silvester Haule ambaye pia ni mgombea ujumbe wa kamati ya utendaji ya Yanga.



Chanzo: mwananchi.co.tz