Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

VIDEO: TAKUKURU wanaangalia jinsi ya kumhoji Aveva

1951 Mahakama1 660x400

Thu, 25 Jan 2018 Chanzo: millardayo.com

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa (TAKUKURU), imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa inaangalia jinsi ya kumhoji Rais wa klabu ya Simba, Evans Aveva ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akisumbuliwa na figo.

Mbali na Aveva mshtakiwa mwingine katika kesi hiyo ni Makamu Rais wa klabu ya Simba, Godfrey Nyange ‘Kaburu’ ambapo wanakabiliwa na kesi ya kutakatisha fedha Dola za kimarekani 300,000.

BREAKING: SAID AMWAGA MACHOZI BAADA YA SCORPION KUHUKUMIWA MIAKA 7

Chanzo: millardayo.com