Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

VIDEO: Simba ilivyoiadhibu Singida United 4-0 leo, magoli yote yapo hapa

1537 Screen Shot 2018 01 18 At 7.32.35 PM 660x400.png

Fri, 19 Jan 2018 Chanzo: millardayo.com

Simba leo January 18 2018 ilicheza game yake ya 13 ya Ligi Kuu Tanzania bara dhidi ya Singida United na kufanikiwa kupata ushindi wa magoli 4-0, magoli yakifungwa na Shiza Kichuya dakika ya 3, Asante Kwasi dakika ya 24 na Emmanuel Okwi aliyefunga magoli mawilu dakika ya 75 na 82.



TFF imetangaza kumfungia Obrey Chirwa wa Yanga

Chanzo: millardayo.com