Mon, 4 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Mlindalango wa klabu ya FC Bayern Munich, Manuel Neuer amekabidhiwa kitambaa cha unahodha ndani ya timu ya taifa ya Ujerumani.
Neuer amekabidhiwa majukumu hayo hii leo wakati Kocha Mkuu wa timu hiyo, Joachim Low akikitangaza kikosi cha wachezaji 23 watakao iwakilisha nchi hiyo kwenye michuano ya kombe la Dunia linalotarajiwa kuanza kutimua vumbi mwezi huu nchini Urusi.
Our captain and no.1 for the #WorldCup, @Manuel_Neuer
Chanzo: bongo5.com