Mon, 20 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bondia wa England, Tyson Fury amechaguliwa kuwa mwanamichezo mwenye mvuto zaidi Duniani kwasasa akiwashinda Cristiano Ronaldo, Anthony Joshua, Jack Grealish na nyota wengine akiwemo Travis Kelce.
Orodha ya nyota kumi (10) wenye mvuto zaidi Duniani.
1. Tyson Fury
2. Anthony Joshua
3. Travis Kelce
4. Lewis Hamilton
5. Cristiano Ronaldo
6. Erling Haaland
7. Jack Grealish
8. Rory Mcllroy
9. Lionel Messi
10. Conor McGregor
Ubingwa mwingine wa kujivunia kwa Tyson Fury mwaka huu ameupata
Chanzo: www.tanzaniaweb.live