Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Tshitshimbi awapiku Buswita na Okwi tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Februari

3744 SHISHIB TZW

Tue, 13 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Shirikisho la soka nchini (TFF), limemtangaza kiungo wa klabu ya Yanga raia wa DR Congo, Papy Kabamba  Tshitshimbi kuwa mchezaji bora wa mwezi Februari ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara.



Tshitshimbi ametwaa tuzo hiyo baada ya kutupia mabao matatu na kukisaidia kikosi chake cha Yanga kuibuka na alama 12.

Katika kinyang’anyiro hicho Tshitshimbi ameshindana na Pius Buswita wa Yanga SC na Emmanuel Okwi wa Simba SC.

Kawaida mshindi wa tuzo hiyo huzawadiwa kitita cha milioni moja pamoja na king’amuzi cha Azam TV.

Chanzo: bongo5.com