Mon, 11 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Mechi ya hisani kati ya muimbaji wa muziki wa kizazi kipya Alikiba na mchezaji wa klabu ya Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta imemalizika kwa timu ya Kiba kukubali kipigo cha goli 4-2 huku muimbaji huyo akikosa penati ambayo ilipatikana katika kipindi cha pili.
Loading...
Chanzo: bongo5.com