Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Timu ya Alikiba yakubali kichapo cha goli 4, zigo la lawama atupiwa Mpoki (Video)

Video Archive
Mon, 11 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Mechi ya hisani kati ya muimbaji wa muziki wa kizazi kipya Alikiba na mchezaji wa klabu ya Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta imemalizika kwa timu ya Kiba kukubali kipigo cha goli 4-2 huku muimbaji huyo akikosa penati ambayo ilipatikana katika kipindi cha pili.

Loading...
Chanzo: bongo5.com