Sun, 17 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kuwa nje kwa takribani miaka 4, Mkali Dwayne The Rock Johnson 'The Rock' usiku wa Jana amerejea rasmi kwenye ulingo wa World Wrestling Entertainment (WWE) ndani ya ukumbi wa Ball Arena huko Denver, Colorado nchini Marekani.
Baada ya kuwa nje kwa takribani miaka 4, Mkali Dwayne The Rock Johnson 'The Rock' usiku wa Jana amerejea rasmi kwenye ulingo wa World Wrestling Entertainment (WWE) ndani ya ukumbi wa Ball Arena huko Denver, Colorado nchini Marekani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live