Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Taifa Stars yapata mualiko wa balozi kabla ya kuivaa Algeria usiku wa leo

5202 TAIFA TZW

Thu, 22 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) hii leo majira ya saa 2: 00 usiku inatarajia kushuka uwanjani kuivaa Algeria kwenye mchezo wa kirafiki wa kalenda ya FIFA.



Kikosi cha Taifa Stars na viongozi wake hapo jana wamepata nafasi ya kualikwa na Balozi wa Tanzania nchini humo, Omar Yusuph Mzee na kuandaliwa chakula cha usiku.

Taifa Stars inatarajiwa kucheza michezo miwili ya kirafiki katika kalenda ya FIFA inayoanza Machi 19 – 27, 2018 dhidi ya timu za Taifa za Algeria na DR Congo.

Baada ya mchezo huo dhidi ya Algeria, Stars itarejea nyumbani kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Congo DR Machi 27, 208 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Chanzo: bongo5.com