Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Kidao Wilfred amezitahadharisha timu za Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (FDL) kuwa makini na aina yoyote ile ya upangaji wa matokeo wakati huu Ligi inafikia ukingoni huku kukiwa na mvutano mkubwa wa kuitafuta nafasi ya kupanda daraja katika makundi yote matatu.
Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Kidao Wilfred amezitahadharisha timu za Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (FDL) kuwa makini na aina yoyote ile ya upangaji wa matokeo wakati huu Ligi inafikia ukingoni huku kukiwa na mvutano mkubwa wa kuitafuta nafasi ya kupanda daraja katika makundi yote matatu.