Mon, 11 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa filamu ambaye pia ni mwanachama wa Yanga, Steve Nyerere Jumapili hii ameibuka na kueleza hisia zake juu ya kamati mpya za Yanga zilizochaguliwa katika Mkutano Mkuu uliofanyika siku ya jana. Wanachama wengi wa Yanga wanaoneka kumuitaji mbwana Yusuph Manji ambaye alijuzulu nafasi ya uenyekiti mapema mwaka baada ya klabu hiyo kukubwa na ukata mkubwa.
Loading...
Chanzo: bongo5.com