Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Siwezi kujiita Simba nikashabikia Chui – Diamond

8957 IVS8434 TZW

Tue, 12 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Baada ya kuficha kwa muda mrefu kuhusu timu anayoshabikia hapa Bongo, Dimond Platnumz ameamua kuweka wazi.



Akiongea na Wasafi TV usiku wa jana kwenye ugawaji wa tuzo za Mo Simba Award 2018, msanii huyo amesema yeye hawezi kujiita Simba akashabikia Chui.

“Sikuzote unajua siwaambiagi watu mimi ni timu gani, mimi ni Simba. Mimi siwezi kujiita Simba nikashabikia Chui. Mimi ni Simba na Timu yangu ni Simba ndio maana leo nipo hapa,” Diamond.

Hata hivyo hit maker huyo wa Iyena ameshindwa kutaja wachezaji wake wawili ambao anawakubali kwenye timu hiyo kutokana na madai ya kutotaka kuchonganishwa na wachezaji kwa kuwa wote anawakubali.

Loading...
Chanzo: bongo5.com