Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Singida United wamtambulisha mchezaji wa Tanzania Prisons

8624 34463495 434462700359153 1463117610525655040 N TZW

Mon, 4 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Klabu ya Singida United imeonekana kuongoza katika mbio za kusajili wachezaji ambao watawatumia msimu ujao.



Timu hiyo imemsajili kiungo wa kati kutoka Tanzania Prisons, Kazungu Mashauri. Kazungu amejiunga na Singida United kwa kusaini mkataba wa miaka mitatu.

Mpaka sasa timu hyo imeshasajili wachezaji takribani watano akiwemo mshambuliaji raia wa Brazili, Felipe Olveira do Santos , Amara Diaby raia wa Ivory Coast, Tiba George na Habibu Kyombo.

Wakati huo huo wamemwachia mchezaji wao Tafadzwa Kutinyu na kocha Han van Pluijm kutimkia Azam FC.

Loading...
Chanzo: bongo5.com