Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Simba na Mtibwa Sugar waweka hadharani vikosi vyao vitakavyochuana leo

8184 Emmanuel Okwi Simba Vs Mtibwa Yam67whyynyc10rluf1ysukne TZW

Sun, 20 May 2018 Chanzo: bongo5.com

Mabingwa wapya wa kombe la ligi kuu Tanzania Bara, Simba SC, na klabu ya Mtibwa Sugar wameweka hadharani majina ya wachezaji wao ambao watacheza kwenye mechi yao ya leo (Jumamosi).



Mchezo huo ambao utapigwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam unatarajiwa kuhudhuriwa na Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli ambaye ndio atawakabidhi Simba kombe lao la ubingwa wa ligi hiyo.

Tazama majina ya achezaji wote hapa chini.





Loading...
Chanzo: bongo5.com