Mon, 17 Aug 2020
Chanzo: habarileo.co.tz
VIKOSI za Simba na Yanga vinatarajiwa kukutana Oktoba 18 mwaka huu katika dimba la Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ikiwa ni moja ya mechi kali na ya kihistoria kwenye msimu ujao wa 2020/21
Kwa mujibu wa ratiba ya michezo ya ligi kuu Tanzania bara msimu wa mwaka 2020/2021 iliyotolewa na Bodi ya Ligi nchini (TPLB) leo imeonyesha kuwa katika raundi ya saba vilabu hivyo vikongwe vya Simba na Yanga vitakutana.
Msimu ujao wa Ligi, timu zitakazoshiriki ligi zitakuwa 18.
Chanzo: habarileo.co.tz